![post-image](image/events/6/12.png)
Watendaji wa ZPDC wakisikiliza wasilisho la shughuli zinazofanywa na Kampuni ya DISEPROSA kutoka Spain ili kuona namna watavyoshirikiana katika shughuli za mafuta na gesi asilia.
Watendaji wa ZPDC wakisikiliza wasilisho la shughuli zinazofanywa na Kampuni ya DISEPROSA kutoka Spain ili kuona namna watavyoshirikiana katika shughuli za mafuta na gesi asilia.
Mkurugenzi Sheria ZPDC Nd. Walid Mohamed Adam akitoa mafunzo juu ya shughuli za mafuta na gesi asilia Zanzibar kwa Waandishi wa Habari yaliyofanyika Maisara Unguja.
Makamo wa Pili wa Rais Mhe. Hemed Suleiman Abdallah atembelea banda la ZPDC katika Maonesho ya 4 ya Sekta ya Nishati Tanzania.
Watendaji wa ZPDC na ZPRA wakiambatana na Kampuni ya RAKgas wakifanya uhakiki kwa waathirika wa zoezi la utafiti wa mafuta na gesi asilia kwa ajili ya kulipwa fidia huko Mkoa wa Kusini Pemba.
Balozi mdogo wa Oman nchini Zanzibar akutana na uongozi wa ZPDC kuona ni namna gani wanaweza kushirikiana katika shughuli za utafiti wa Mafuta na Gesi Asilia Zanzibar.